BREAKING NEWS
MLIPUKO WA BOMU KATIKA KANISA KATOLIKU ARUSHA
Kanisa
katoliki parokia ya Olasiti limelipuliwa na kifaa kinachosakikiwa kuwa ni
bomu muda mchache kabla ya misa kuanza. Kanisa hilo ambalo leo hii lilikuwa apandishwa
hadhi kwa kuwekwa wakfu kuwa Parokia limekumbwa na masa huo leo tar 5 May 2013
majira ya saa5, asubuhi. Inasemekana kuwa wengi wamejeruhiwa na
mtu mmoja amefariki dunia. Inasemekana kishindo kikubwa kilisikika
ndani ya kanisa hilo lililokuwa na waumini wa dhehebu hilo kabLa Askofu hajaaza
kuongoza misa.
Mgeni rasmi katika isa na hafla hiyo alikuwa ni balozi wa Vatican nchini Tanzania.
Mgeni rasmi katika isa na hafla hiyo alikuwa ni balozi wa Vatican nchini Tanzania.
Taarifa zaidi zitakujia!